WHAT TO DO AFTER CENTIPEDE BITE?

Centipede bites are uncommon but can be clinically significant in regards to patient discomfort, morbidity, and mortality. Prompt diagnosis and treatment can improve patient outcomes. This activity reviews the evaluation and treatment of centipede bites, and highlights the role of the interprofessional team in managing the care of patients with these painful bites and related sequelae.

GHOROFA LAANGUKA NA KUUA WATANO, KUJERUHI TISA

Watu watano wamekufa na wengine tisa kujeruhiwa baada ya jengo la ghorofa mbili walilokuwa wakijenga kuanguka katika eneo la Marangu wilayani Moshi.

MWANDISHI TBC AFARIKI KWA AJALI YA BAISKELI MLIMA KILIMANJARO

Mwandishi wa Habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Joachim Kapembe (45), amefariki dunia wakati akishuka katika Mlima Kilimanjaro na anatarajiwa kuzikwa mkoani Tanga kesho.

A MASH MADE IN HEAVEN! POTATOES CAN HELP YOU LOSE WEIGHT, SCIENTISTS SAY

Those looking to lose weight have long been told to avoid carb-heavy foods.
But though it may seem counter-intuitive, scientists now believe starchy potatoes could be the secret to shedding pounds.

DID YOU KNOW THAT THESE COMMON HOUSEHOLD ITEMS ARE MEANT TO BE USED THIS WAY?

What do coat hangers, ridges on coins, Solo cups, and old TV antennas have in common? They might seem like everyday household items, but they actually hide secrets and tricks that you have never even noticed before. The items will help solve a bunch of pesky issues in the house when you repurpose them! Your trips to Home Depot and Target will be drastically reduced when you start following the life hacks that we have for you. Read on to see simple hacks that will make your life that much easier.

COCAINE ‘SUPER-CARTEL’ FRONTED BY BRITISH DRUGS LORD IS BUSTED WITH 49 ARRESTED ACROSS EUROPE AND DUBAI

 

A huge drugs 'super-cartel' that controlled a third of Europe's cocaine trade has been busted by police officers, with 49 arrests in countries including France and Dubai.

MAJINA SITA WALIOFARIKI AJALI YA BASI ARUSHA EXPRESS DODOMA HAYA HAPA...


Watu sita wamefariki Dunia wakati basi la abiria lilipogongana na lori katika eneo la Mzakwe mkoani Dodoma mchana wa leo.
Katika ajali hiyo, basi la Arusha Express lenye namba za usajili T530 AGG liligongana na lori la mchanga la kampuni ya Sinohydro, lenye namba za usajili T939 DZE jana, saa sita mchana.

WANAFUNZI 566,840 KUANZA MITIHANI KIDATO CHA NNE KESHO

Jumla ya wanafunzi 566,840 wamesajiliwa kufanya mtihani wa kidato cha nne mwaka huu inayotarajiwa kuanza kesho nchi nzima, na kati yao watahiniwa wa shule ni 535,001 na watahiniwa wa kujitegemea ni 31,839.

HOTUBA YA WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MKUTANO WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHESHIMIWA, SAMIA SULUHU HASSAN NA MABALOZI WA TANZANIA NJE YA NCHI UTAKAOFANYIKA ZANZIBAR KUANZIA TAREHE 14 HADI 21 NOVEMBA 2022

 

HOTUBA YA DKT. STERGOMENA TAX (MB), WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MKUTANO WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHESHIMIWA, SAMIA SULUHU HASSAN NA MABALOZI WA TANZANIA NJE YA NCHI UTAKAOFANYIKA ZANZIBAR KUANZIA TAREHE 14 HADI 21 NOVEMBA 2022

 

 

Ndugu Wahariri;

Ndugu wanahabari;

Mabibi na Mabwana;

 

Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

Ndugu wahariri, awali ya yote napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kukutana siku ya leo tukiwa na afya njema.

Pili, nawashukuru kwa kuitikia wito wetu na kuweza kuhudhuria mkutano huu. Pia, nawashukuru na kuwapongeza kwa ushirikiano mnaoutoa kwa Wizara na kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kuuhabarisha Umma kuhusu umuhimu na mchango wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki katika maendeleo ya Taifa letu.

ZIRO NA TINA...


 

28,000 WALIOKOSA MIKOPO WATAKIWA KWENDA VYUONI KUENDELEA NA USAJILI

Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia wanafunzi 28,000 waliokidhi vigezo vya kupata mikopo ya elimu ya juu mwaka 2022/2023, lakini wakakosa kutokana na ukomo wa bajeti, waende vyuoni kuendelea na usajili.

HAYA NDIO MAWASILIANO YA RUBANI WA PRECISION AIR...

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imesema mawasiliano ya mwisho kati ya rubani wa ndege iliyopata ajali Jumapili, Buruhani Rugaba na mwongoza ndege wa eneo hilo, ni kwamba hali ya hewa ya Bukoba ilikuwa mbaya na angeweza kurudi Mwanza.

AJALI YAUA WATUMISHI 7 MANYARA, WAMO MUME NA MKE

Watu saba ambao ni watumishi katika Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara wamekufa baada ya gari walilokuwa wamepanda kugongana na gari lingine katika eneo la Pori Mamba Moja, Kata ya Partimbo Kiteto mkoani humo.

THE WORLD'S 10 MOST DANGEROUS AIRPORTS

1. Tenzing-Hillary Airport
Tenzing-Hillary Airport, or Lukla Airport, is located 9,383 feet above sea level, surrounded by mountainous terrain. Its short runway is 1,729 feet (it’s common to have 7,000-10,000-foot runways) and sits on the edge of a cliff, with a 2,000-foot drop on one side and a stone wall on the other. The weather is highly unpredictable in the mountains, so the flights only operate in the morning. It’s common for flights to get canceled due to sudden snow or fog.

10 THINGS YOU DIDN'T KNOW ABOUT AIRPORTS

 

1. You won’t be offered an upgrade so easily.
We all dream that someday we will arrive at the check-in desk with our economy class ticket and being told, “We are offering you an upgrade to business class.” Not to rain on your parade or anything, but keep dreaming because the probability of this happening is scarce. Dressing in your best ball gown, smiling from ear to ear, complimenting the employee in question, and even knowing a crewmember won’t help. Today, it is only the airline’s frequent fliers who can opt for this luxury, and even for them, it is difficult.  Sure, you never know, but just don’t hold your breath.

ZIRO NA TINA...

 


MVUVI ASIMULIA ALIVYORUDI KUMUAGA RUBANI AJALI YA PRECISION AIR

Kijana mvuvi aliyeshiriki katika uokoaji wakati wa ajali ya ndege ya Precision Air  liyosababisha vifo vya watu 19 juzi mjini Bukoba, Majaliwa Jackson almaarufu  ajamnyama ameelezea namna alivyopambana kuvunja mlango wa ndege, kuokoa abiria hadi marubani.

KIJANA AKWAA MAMILIONI, AJIRA AJALI YA PRECISION AIR


Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kijana mvuvi aliyesaidia kwa ujasiri kuokoa abiria waliopata ajali ya ndege ya Precision Air, Majaliwa Jackson kukabidhiwa kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni ili atafu-tiwe nafasi kwenye Jeshi la Uokoaji.

WAZIRI MKUU AONGOZA MAMIA KUAGA MIILI AJALI YA PRECISIONAIR

 

Waziri Mkuu, Kassim Majal-iwa ameongoza mamia ya waombolezaji kuaga miili ya watu 19 waliokufa katika ajali ya ndege ya Kampuni ya Precision Air katika Ziwa Victoria mjini Bukoba mkoani Kagera juzi.

KATUNI ZA ZIRO SASA KIGANJANI MWAKO...

 KIMYA KINGI HAKIKA KINA MSHINDO MKUU...

Baada ya muda mrefu, mchoraji wako Patrick Eusebio aka ANKO PATI amerejea kwa kishindo kukata kiu yako kwa kurejesha tena katuni yake maarufu ya ZIRO!

TAARIFA KUHUSU RUBANI YAIBUA MAPYA NDEGE YA MISRI ILIYOANGUKA NA KUUA 66...


Utata kuhusu ajali ya ndege ya EgyptAir umeongezeka baada ya madai kwamba rubani wa ndege hiyo alitoa taarifa ya kuwapo moshi uliokuwa ukifuka kuashiria moto.

MTOTO WA MIEZI MITANO ANYOFOLEWA ‘KICHWA CHA PILI’ BAADA YA WAZAZI KURIDHIA UPASUAJI HATARI WA ASILIMIA 50/50



Mtoto aliyekuwa na uvimbe unaoonekana kama kichwa cha pili amenusurika kifo katika upasuaji wenye hatari kubwa uliodumu kwa masaa sita kuondoa uvimbe huo mkubwa, ambao madaktari awali walisema hauwezi kutibika.

MWALIMU WA KIKE AKABILIWA NA KIFUNGO KWA KUFANYA MAPENZI NA MWANAFUNZI WAKE


Mwalimu Cox alipokuwa akitoka mahakamani.

Mwalimu wa kike ambaye alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanafunzi wake wa kiume mwenye umri wa miaka 16 ametahadharishwa kwamba anakabiliwa na adahabu ya kifungo jela baada ya mahakama kuelezwa kwamba alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na mtoto huyo kwa kipindi cha miezi sita.

8 THINGS YOU DIDN’T KNOW ABOUT SOUTH AFRICAN AIRWAYS

South African Airways (SAA) has been at the centre of a debate over the viability of state-owned enterprises in South Africa, with the national carrier struggling to run without making a loss. The airline is one of the biggest on the continent, with numerous international routes allowing South Africans to travel globally thanks to SAA’s resources and partnerships with other airline groups. 
In this article we take a closer look at 8 things you may not know about South African Airways.   

YANGA YAWATOA KAMASI AL-AHLY KWAO, YAJIANDAA KUIVAA ESPERANCE...

Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika, Yanga SC imedhihirisha kwamba ni Bingwa wa Tanzania baada ya kukataa unyonge wa miaka mingi na kuibana vilivyo Al-Ahly ya Misri katika mechi ya marudiano hatua ya 16 Bora.